TAWLA YAZINDUA HUDUMA YA SIMU BILA MALIPO, LENGO NI KUWASAIDIA WANANCHI WENGI MSAADA WA KISHERIA
Mwenyekiti wa TAWLA Aisha Zumo Bade, akifafanua juu ya huduma ya simu bila malipo iliyozinduliwa hii leo makao makuu ya chama hicho jiji Daresalaam, Katika uzinduzi huo Madam Bade amewahakikishia wananchi kuwa huduma hiyo sio moto wa kivuu wa kuanza kwa kasi na kuzimika kwa kasi badala yake huduma hiyo itakuwa endelevu ili iweze kutimiliza malengo ya kuwapatia wateja wake msaada wa Kisheria. |
Hakuna maoni
Chapisha Maoni