TAARIFA KUHUSU MATOKEO YA MITIHANI YA UALIMU ILIYOFANYIKA MEI 2014, SOMA HAPA KUPATA UFAFANUZI WA MATOKEO YA UALIMU 20132014
TAREHE
16 JULAI, 2014
TAARIFA KUHUSU MATOKEO
YA MITIHANI YA UALIMU
ILIYOFANYIKA
MEI 2014
- UTANGULIZI
Baraza la Mitihani la
Tanzania katika kikao chake cha 100
kilichofanyika
tarehe 15
Julai, 2014
liliidhinisha kutangazwa rasmi matokeo ya Mitihani ifuatayo
iliyofanyika Mei 2014:
- Mtihani wa Ualimu Daraja la A (Grade A Teacher’s Certificate Examination – GATCE);
- Mtihani wa Stashahada ya Ualimu Sekondari (Diploma in Secondary Education Examination – DSEE); na
- Mtihani wa Stashahada ya Ualimu Ufundi (Diploma in Technical Education Examination – DTEE).
- USAJILI, MAHUDHURIO NA MATOKEO YA JUMLA
- Usajili na Mahudhurio
- Mtihani wa Ualimu Daraja A - GATCE
Watahiniwa
waliosajiliwa kufanya Mtihani wa Ualimu Daraja A ni 10,827.
Wasichana walikuwa ni 4,093
sawa
na asilimia 37.80
na
wavulana ni 6,734
sawa
na asilimia 62.20
ya
watahiniwa wote waliosajiliwa.
Kati
ya watahiniwa waliosajiliwa, watahiniwa 10,789
walifanya
Mtihani, wakiwemo wasichana 4,078
(99.63%) na
wavulana 6,711
(99.66%).
Watahiniwa
38
(0.35%)
hawakufanya Mtihani, kati yao wasichana ni 15
(0.37%)
na wavulana ni 23
(0.34%).
- Mtihani wa Stashahada ya Ualimu Sekondari - DSEE
Watahiniwa
waliosajiliwa kufanya Mtihani wa Stashahada ya Ualimu Sekondari ni
4,931.
Wasichana
walikuwa ni 1,698
sawa
na asilimia 34.44
na
wavulana ni 3,233
sawa
na asilimia 65.56
ya
watahiniwa wote waliosajiliwa.
Kati
ya watahiniwa waliosajiliwa, watahiniwa 4,899
walifanya
Mtihani ambapo
watahiniwa
1,685
(99.23%)
ni wasichana na wavulana walikuwa
3,214
(99.41%).
Watahiniwa
32
(0.65%)
hawakufanya Mtihani wakiwemo wasichana 13
(0.77%)
na wavulana 19
(0.59%).
- Mtihani wa Stashahada ya Ualimu Ufundi - DTEE
Watahiniwa
waliosajiliwa kufanya Mtihani wa Cheti cha Ualimu Ufundi ni 03
ambapo wote watatu
(3)
walikuwa wavulana na wote walifanya Mtihani huo.
- Muhtasari wa Usajili na Mahudhurio
Watahiniwa waliosajiliwa,
waliofanya na wasiofanya Mitihani ya Mei 2014 ni kama inavyooneshwa
katika jedwali lifuatalo:
AINA
YA MTIHANI
|
VITUO
|
JINSI
|
WALIOSAJILIWA
|
WALIOFANYA
|
WASIOFANYA
|
||
No
|
%
|
No
|
%
|
||||
Grade A
Teacher Certificate Examination (GATCE)
|
94
|
F
|
4,093
|
4,078
|
99.63
|
15
|
0.37
|
M
|
6,734
|
6,711
|
99.66
|
23
|
0.34
|
||
T
|
10,827
|
10,789
|
99.65
|
38
|
0.35
|
||
Diploma
In Secondary Education Examination (DSEE) |
52
|
F
|
1,698
|
1,685
|
99.23
|
13
|
0.77
|
M
|
3,233
|
3,214
|
99.41
|
19
|
0.59
|
||
T
|
4,931
|
4,899
|
99.35
|
32
|
0.65
|
||
Diploma
In Technical Education Examination (DTEE) |
1
|
F
|
0
|
0
|
0
|
0
|
0.00
|
M
|
3
|
3
|
100
|
0
|
0.00
|
||
T
|
3
|
3
|
100
|
0
|
0.00
|
- MATOKEO YA MTIHANI
- Mtihani wa Ualimu Daraja A (GATCE)
Jumla
ya watahiniwa 10,695
sawa
na asilimia 99.62
ya waliofanya Mtihani wa Ualimu Daraja la A mwaka 2014
wamefaulu. Kati ya watahiniwa hao, wasichana ni 4,049
sawa
na asilimia 99.66
na
wavulana 6,646
sawa
na asilimia 99.60.
Mchanganuo wa ufaulu kwa
kila Daraja ni kama ifuatavyo :
DARAJA
LA UFAULU
|
WAVULANA
|
WASICHANA
|
JUMLA
|
|||
IDADI
|
ASILIMIA
|
IDADI
|
ASILIMIA
|
IDADI
|
ASILIMIA
|
|
Distinction |
0
|
0.00
|
0
|
0.00
|
0
|
0.00
|
Credit |
1,454
|
21.79
|
844
|
20.77
|
2,298
|
21.40
|
Pass |
5,192
|
77.81
|
3,205
|
78.88
|
8,397
|
78.21
|
Supp. |
6
|
0.09
|
7
|
0.17
|
13
|
0.12
|
Fail |
21
|
0.31
|
7
|
0.17
|
28
|
0.26
|
- Mtihani wa Stashahada ya Ualimu Sekondari (DSEE)
Jumla
ya watahiniwa 4,161
sawa
na asilimia 85.71
ya waliofanya Mtihani wa Stashahada ya Ualimu mwaka 2014 wamefaulu.
Kati ya watahiniwa hao, wasichana ni 1,401
sawa
na asilimia 83.64
na
wavulana 2,760
sawa
na asilimia 86.79.
Mchanganuo wa ufaulu kwa
kila Daraja ni kama ifuatavyo :
DARAJA
LA UFAULU
|
WAVULANA
|
WASICHANA
|
JUMLA
|
|||
IDADI
|
ASILIMIA
|
IDADI
|
ASILIMIA
|
IDADI
|
ASILIMIA
|
|
Distinction |
0
|
0.00
|
0
|
0.00
|
0
|
0.00
|
Credit |
4
|
0.13
|
1
|
0.06
|
5
|
0.10
|
Pass |
2,756
|
86.67
|
1,400
|
83.58
|
4,156
|
85.60
|
Supp. |
397
|
12.48
|
261
|
15.58
|
658
|
13.55
|
Fail |
23
|
0.83
|
13
|
0.92
|
36
|
0.86
|
- Mtihani wa Diploma ya Ualimu Ufundi (DTE)
Watahiniwa
wote
watatu
(3)
waliofanya Mtihani
wa Stashahada ya Ualimu Ufundi wameshindwa baadhi ya masomo, hivyo
watarudia masomo waliyoshindwa katika Mtihani wa Mei 2015.
- Muhtasari wa matokeo yote
Muhtasari wa matokeo ya
mitihani yote iliyofanyika Mei 2014 ni kama inavyooneshwa katika
jedwali lifuatalo:
AINA
YA MTIHANI
|
JINSI
|
WALIOFANYA
|
WALIOFAULU
|
WANAORUDIA
|
WALIOSHINDWA
|
|||
No
|
%
|
No
|
%
|
No
|
%
|
|||
GATCE |
KE
|
4,078
|
4,049
|
99.66
|
7
|
0.17
|
7
|
0.17
|
ME
|
6,711
|
6,646
|
99.60
|
6
|
0.09
|
21
|
0.31
|
|
JML
|
10,789
|
10,695
|
99.62
|
13
|
0.12
|
28
|
0.26
|
|
DSEE |
KE
|
1,685
|
1,401
|
83.64
|
261
|
15.58
|
13
|
0.78
|
ME
|
3,214
|
2,760
|
86.79
|
397
|
12.48
|
23
|
0.72
|
|
JML
|
4,899
|
4,161
|
85.71
|
658
|
13.55
|
36
|
0.74
|
|
DTEE |
KE
|
0
|
0
|
0.00
|
0
|
0.00
|
0
|
0.00
|
ME
|
3
|
0
|
0.00
|
3
|
100
|
0
|
0.00
|
|
JML
|
3
|
0
|
0.00
|
3
|
100
|
0
|
0.00
|
- MATOKEO YALIYOZUIWA
Baraza la Mitihani
limezuia
matokeo
ya mtihani ya watahiniwa 95
ambao
walifanya
mtihani bila kulipa ada.
Kati
ya watahiniwa hao, 51
ni wa
GATCE
na 44 wa
DSEE.
Matokeo
ya watahiniwa hawa yatatolewa mara baada ya watahiniwa kulipa ada
wanayodaiwa.
- MATOKEO YALIYOFUTWA
Baraza la Mitihani
limefuta
matokeo
ya mtahiniwa
mmoja (01)
wa
GATCE aliyebainika kufanya udanganyifu wakati wa Mtihani.
Baraza la Mitihani la
Tanzania linapenda kuchukua fursa hii kuzipongeza Kamati za
Uendeshaji Mitihani za Mikoa na Wilaya, Wakuu wa Vyuo na Wasimamizi
wa Mitihani ya Ualimu iliyofanyika Mei, 2014 kwa kuzingatia na
kusimamia taratibu za Uendeshaji Mitihani vizuri na hivyo kuzuia
udanganyifu kufanyika. Aidha, Baraza linawapongeza wahitimu wa kozi
za Ualimu kwa kutojihusiha na udanganyifu wakati wa kufanyika kwa
mitihani hiyo.
- UPATIKANAJI WA MATOKEO YA MITIHANI YA MEI 2014
Matokeo
ya Mitihani ya Mei 2014 yanapatikana katika Tovuti zifuatazo:
- www.necta.go.tz au www.moe.go.tz na
Dkt. Charles E.
Msonde
KAIMU
KATIBU MTENDAJI
16/07/2014
Post Comment
Hakuna maoni
Chapisha Maoni