Zinazobamba

Waganga wa tiba asili wamjia juu msajiri wao, wasema amekuwa sio msikivu kwa wadau wake

WIKI MOJA BAADA YA SERIKALI KUWATAMBUA RASMI MADAKTARI WA TIBA ASILIA, WAGANGA HAO WAMEWATAKA SERIKALI KUTOA USHIRIKIANO WA KUTOSHA ILI KUWEZA KUTIMIZA MALENGO YA KUOKOA VIZAZI VYA KITANZANIA KWA DAWA ASILIA,

WAGANGA HAO WAMESEMA ILI KUSHIRIKIANA VIZURI HAKUNA BUDI OFISI YA MSAJIRI IKAWA RAFIKI KWA WADAU WA TIBA ASILI NA WAACHE TABIA YA KULAZA FOMU ZA MADAKTARI WANAOMBA KUPATIWA VYETI VYA UTAMBULISHO ILI WATOE HUDUMA KWA WATEJA WAO,

WAMESEMA IMEKUWA NI HULKA YA OFISI YA MSAJIRI KUCHELEWESHA MCHAKATO WA UTOAJI VYETI KWA WAGANGA WA TIBA ASILI HALI INAYOWALETIA GUMU WA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KWA WATEJA WAO KWA WAKATI
Mmoja wa maprofessa wa tiba asili hapa tanzania, amkimjia juu msajiri wa balaza la waganga wa tiba asili hapa nchini mapema hivi karibuni, professa huyo mwenye utaaramu wa kutimu ugojnwa wa pumu kwa siku saba amekuwa akimlalamikia msajiri huyo kwa vitendo anavyofanyiwa vya kutompa cheti kuonyesha kuwa ni mganga anayetambulika na serikali, anayemuangalia ni msajiri wa balaz la waganga wa tiba asili tanzania
AMESEMA MCHAKATO UNACHUKUA TAKRIBANI MWAKA MZIMA NDIO UWEZE KUPATIWA CHETI, MUDA HUO NI MREFU NA UNAWAUMIZA KATIKA UTOAJI WA HUDUMA KWA WAGONJWA WAO

Naye huyu alitoa malalamiko yanayofanana, hata hivyo waganga hao wameshukuru kwa selikali kuanza kuwa na imani na tiba wanazotoa ingawaje wamechelewa kuzitambua dawa zao mapema. Wamesema nchi kama china, india wamekuwa wakitumia dawa za mitishamba kutibu magonjwa mbalimbali yanayowasumbua wananchi wao vip tanzania tunapuuzia dawa asilia

ninamiaka miwili toka nimekusanya taarifa zangu za udaktari lakini mpaka hii leo bado hamjanipa cheti changu ni kwa nini  au kuna utaratibu gani mnautaka ili tuufuate? alihoji profesa huyo wa gongo la mboto

No comments