RAIS JAKAYA AKIWAHUTUBIA WANANCHI MJINI KIBAHA.
Rais
Kikwete akiwahutubia mamia ya wananchi katika Viwanja vya CCM,huko
Mlandizi, Kibaha(picha na Freddy Maro) mara baada ya kuzindua kiwanda
cha Viuadudu mkoani Pwani jana.(PICHA NA FREDDY MARO IKULU)
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wananchi waliofurika katika
viwanja vya CCM Mlandizi Kibaha ambapo aliwahutubia katika Mkutani wa
Hadhara.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wananchi waliofurika katika
viwanja vya CCM Mlandizi Kibaha ambapo aliwahutubia katika Mkutani wa
Hadhara.
SOURCE BUKUKU
No comments
Post a Comment