Zinazobamba

MTEMVU AMWAGIWA SIFA KWA KUWA KINARA WA MAENDELEO TEMEKE


03 ab2a5Mbunge wa Jimbo la Ilala, Mussa Zungu (kushoto), akihutubia na kummwagia sifa Mbunge wa Jimbo la Temeke, ambaye pia ni Mwenyekiti wa wabunge wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu (kulia), kwa tabia yake ya kuwa karibu na jamii na kutetea maendeleo ya Temeke na Dar es Salaam jana katika mkutano wa jimbo hilo wa kuelezea miradi mbalimbali iliyotekelezwa jimboni (HD)
02 f159b
01 87d62
Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu (kulia), akihutubia katika mkutano wa jimbo uliofanyika eneo la Lumo, Kata ya Yombo Vituka, Dar es Salaam, ambapo pamoja na mambo mengine alielezea miradi mbalimbali ya maendeleo iliyotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM jimboni humo.
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Adam Kimbisa akihutubia katika mkutano wa Jimbo la Temeke eneo la Lumo, Yombo Vituka, Dar es Salaam , ambapo pamoja na mambo mengine aliwataka viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali kuwajali vijana kwa kuzipatia ufumbuzi changamoto mbalimbali zinazowakabili. Kutoka kulia ni Mbunge wa jimbo hilo, Abbas Mtemvu, Meya wa Ilala, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Jerry Silaa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Madabida.

No comments