alimuwakilisha mkurugenzi wa Ewura, akisoma hutuba kwa wakandarasi waliopewa leseni za kufanya kazi za umeme, Eng. huyo amesema wakandarasi lazima wawe makini na leseni zao kwani kuna watu wanaweza kutumia leseni hizo vibaya hususaninyakati unaacha kazi katika moja ya kampuni wanazofanyia kazi, Ili kuondoa sintofahamu hiyo ni vyema wakatoa taarifa hzo za kuacha kazi mapema ili hatua za kufuta kumbukumbu zifuate |
No comments
Post a Comment