TANESCO,TPDC WATENDAJI WAKE WAJIAPIZA,WADAI HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE
Na Selemani Magari
Watendaji wakuu wa mashirika ya umma katika sekta ya nishati na madini wamejiapiza kutiza miradi mbalimbali waliojipangia na kwamba wakishindwa kutekeleza wako radhi kuajibishwa kwa hatua yeyot ile,
Hatua hiyo imekuja baada ya waziri mwenyedhama kutangaza miradi 29 itakayoanza mapema hivi karibuni yenye lengo la kuwa na nishati ya uhakika hapa nchini,miongoni mwa miradi hiyo ni pamoja na Kinyeezi 1 kinyerezi 2,Kinyerezi3 na Kinyerezi 3
Hapa nae mkurugenz wa wakala wa umeme vijijini akiapa mbele ya wananchi
Katibu mkuu wa wizara hiyo Eliakim Maswi akifafanua juu ya utekelezaji wa miradi hiyo
Waziri wa nishati na madini akitoa neno kwa wananchi
wananchi waliohudhulia katika uzinduzi huo awkifuatilia maelezo mbalimbali yaliyotolewa na watendaji mbalimbali
vijiji vitakavyopata umeme ifikapo 2014 ambavyo vipo ndani ya mpango
Miradi itakayofanyiwa kazi, kama inavyoonekana hapo juuuu
Naye kaimu mkurugenzi mkuu wa tanesco aliapa kutekeleza makumu yake na amewataka watanzania kumuunga mkono katika majuku yake, umeme wa uhakika lazima upatikane hapa
Watendaji wakuu wa mashirika ya umma katika sekta ya nishati na madini wamejiapiza kutiza miradi mbalimbali waliojipangia na kwamba wakishindwa kutekeleza wako radhi kuajibishwa kwa hatua yeyot ile,
Hatua hiyo imekuja baada ya waziri mwenyedhama kutangaza miradi 29 itakayoanza mapema hivi karibuni yenye lengo la kuwa na nishati ya uhakika hapa nchini,miongoni mwa miradi hiyo ni pamoja na Kinyeezi 1 kinyerezi 2,Kinyerezi3 na Kinyerezi 3
Mkurugenzi mtendaji wa TPDC Bw. Yona Kilagane akiapa kwa wananchi |
Hapa nae mkurugenz wa wakala wa umeme vijijini akiapa mbele ya wananchi
Katibu mkuu wa wizara hiyo Eliakim Maswi akifafanua juu ya utekelezaji wa miradi hiyo
Waziri wa nishati na madini akitoa neno kwa wananchi
wananchi waliohudhulia katika uzinduzi huo awkifuatilia maelezo mbalimbali yaliyotolewa na watendaji mbalimbali
vijiji vitakavyopata umeme ifikapo 2014 ambavyo vipo ndani ya mpango
Miradi itakayofanyiwa kazi, kama inavyoonekana hapo juuuu
Naye kaimu mkurugenzi mkuu wa tanesco aliapa kutekeleza makumu yake na amewataka watanzania kumuunga mkono katika majuku yake, umeme wa uhakika lazima upatikane hapa
No comments
Post a Comment