Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Antony Mtaka amelipongeza Shirika la umeme Tanzania TANESCO kwa kuendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ya umeme ambapo amesema itawapunguzia wananchi gharama na kulinda mazingira na afya zao.
MHE. MTAKA AIFAGILIA TANESCO NISHATI SAFI YA KUPIKIA KWA UMEME
Reviewed by mashala
on
16:32:00
Rating: 5
No comments
Post a Comment