Ndugu zangu Watanzania, kutokana na ugonjwa wa Corona, nawaomba tutumie siku 3 za kuanzia tarehe 17- 19 Aprili, 2020 {Ijumaa, Jumamosi na Jumapili} KUMUOMBA MWENYEZI MUNGU aliye muweza wa yote atuepushe na janga la ugonjwa huu. Tusali kwa kila mmoja kwa imani yake, atatusikia.
Rais Magufuli awaomba watanzania kutumia siku 3 kusali kwa imani zao ili kutokomeza corona
Reviewed by Full habari Digital
on
19:30:00
Rating: 5
Hakuna maoni
Chapisha Maoni