Zinazobamba

Watanzania wapata Fursa StarTimes



Madhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja yamefanyika leo jijini Dar es salaam ambapo wateja wamepata fursa ya kutembelea kampuni ya Star times kujione utendaji kazi na huduma zitolewazo.

Aidha kwa upande wake .Mkurugenzi na Uendeshaji wa StarTimes Tanzania, Carter Luo, amesema: “Katika kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja, tumekuja na kitu kipya ambapo tumeongeza chaneli kwenye king’amuzi chetu kwa ajili ya kuwapa burudani zaidi wateja wetu kwani tunawajali sana.”
Pia Luo amesema ili kuwafikia wateja wao kwa haraka na kuwatatulia matatizo yao, katika kitengo chao cha huduma kwa wateja wameongeza watu na kufikia 300