Zinazobamba

MAISHA YA MWANDISHI HUYU WA HABARI YAPO HATARINI,WATUWASIOJULIKANA WAMWANDIKIA UJUMBE MZITO,NI YULE MWANDISHI MKOSOAJI WA SERIKALI YA JPM,SOMA HAPO KUJUA


ALIYEKUWA Mhariri Mtendaji wa Gazeti linalotoka kila siku la Tanzania Daima,Ansbert Ngurumo (Pichani) amesema maisha yake yapo hatarini baada ya kutishiwa kuuliwa na watu siojuliakana.Anaandika KAROLI VINSENT endelea nayo.

Ngurumo ambaye anasifika kuandika makala za kuikosoa vikali mwenendo wa serikali ya Rais John Magufuli  kupitia uchambuzi wa makala kwenye Magazeti ya Mwanahalisi,Mawio,Mseto,Raia Mwema ambapo Magazeti haya yamefungiwa na  serikali ya awamu ya tano ya  Rais  Magufuli kwa kile kinachoitwa na kuitwa na serikali hiyo kuwa Magazeti haya yamekiuka kanuni za uandishi wa habari.

Mwandishi huyo Mkongwe kwa sasa nchini amesema kwa maisha yako yapo hatarini baada ya kuikosoa Vikali  serikali ya Rais Magufuli kupitia kituo kimoja cha Tv kwa hatua yake ya kufungia magazeti kila uchwao
Amesema mara baada ya kutoa maoni yake kwenye kituo amekuwa akipokea vitisho kwa watu wasijulikana kutokana na kutoma maoni yake hayo kikatiba.
 .


Ngurumo.PNG

Kuibuka kwa taarifa kutoka Ngurumo ambaye aliwai kugombani Ubunge kuna kuja ikiwa bado serikali haijawatamata au kumshikiliza mtu yeyote aliyehusika na tukio la kumshambulia vibaya Mbunge wa Singida Mashariki,Tundu lissu ambaye amelazwa Nairobi nchini kenya baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana alipotoka kwenye vikao vya bunge vilivyomalizika mkoani Dodoma