Kurugenzi
ya Mawasiliano ya Rais, mapema mchana huu wa leo Novemba 17.2016, imetoa
taarifa kwa umma juu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli ametia saini Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka 2016 iliyopitishwa na
Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wake wa 5 Mjini
Dodoma.
Rais
Magufuli amesaini Sheria hiyo jana tarehe 16 Novemba, 2016.
Dkt.
Magufuli amewapongeza wadau wote kwa kufanikisha kutungwa kwa Sheria hiyo.
“Naamini
kuwa Sheria hii itasaidia kuboresha sekta ya habari kwa manufaa ya wanataaluma
wenyewe na Taifa” amesema Rais Magufuli.
Mwisho
wa kunukuu taarifa hiyo kutoka:
Gerson
Msigwa
Mkurugenzi
wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar
es Salaam
17
Novemba, 2016
HATIMAYE RAIS MAGUFULI ASAINI SHERIA YA KUNYONGA WANAHABARI,SOMA HAPO KUJUA
Reviewed by Unknown
on
19:42:00
Rating: 5