Zinazobamba

BAJETI 2016/2017 NI VILIO VITUPU...TGNP WASEMA HAITAWASAIDIA MAMA WAJAWAZITO



Mwenyekiti wa vituo vya taarifa na maarifa Taifa ambaye pia ni mwenyekiti maarifa  wa kata ya makumbusho Bi JANETH MAWIZAakisoma Tamko la wanaharakati hao juu ya Bajeti ya nchi Iliyosomwa jana Bungeni Dodoma na Kugusa Hisia za watanzania wengi. - See more at: http://habari24.blogspot.com/#sthash.5foHqb0K.dpuf

 Mwenyekiti wa vituo vya taarifa na maarifa Taifa ambaye pia ni mwenyekiti maarifa  wa kata ya makumbusho Bi JANETH MAWIZAakisoma Tamko la wanaharakati hao juu ya Bajeti ya nchi Iliyosomwa jana Bungeni Dodoma na Kugusa Hisia za watanzania wengi.

Mwenyekiti wa vituo vya taarifa na maarifa Taifa ambaye pia ni mwenyekiti maarifa  wa kata ya makumbusho Bi JANETH MAWIZAakisoma Tamko la wanaharakati hao juu ya Bajeti ya nchi Iliyosomwa jana Bungeni Dodoma na Kugusa Hisia za watanzania wengi. - See more at: http://habari24.blogspot.com/#sthash.5foHqb0K.dpuf
Mwenyekiti wa vituo vya taarifa na maarifa Taifa ambaye pia ni mwenyekiti maarifa  wa kata ya makumbusho Bi JANETH MAWIZAakisoma Tamko la wanaharakati hao juu ya Bajeti ya nchi Iliyosomwa jana Bungeni Dodoma na Kugusa Hisia za watanzania wengi. - See more at: http://habari24.blogspot.com/#sthash.5foHqb0K.dpuf


Imeelezwa kuwa licha ya bajeti ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kuongezwa,   bado bajeti hiyo haijakizi mahitaji kabisa kwani haijazingatia kumwezesha mama mjamzito kupata huduma za uzazi.

Hayo yamezungumzwa na mtandao wa Jinsia Tanzania  (TGNP) kwa kushirikiana na wanaharakati mbalimbali ngazi ya jamii, wakati wakitoa tamko kuhusiana na bajeti ya mwaka wa fedha 20116/2017.
Akizungumza  na wanahabari jana Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake katika Jitihada za Maendeleo (WAJIKI), Janeth Mawinza, alisema bajeti iliyotengwa kwa ajiri ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inaonekana haiwezi kutatua changamoto za mama mjamzito kupata huduma.
“Mfano vifaa vya kujifungulia havikupewa uzito wa kutosha pia ni vema serikali ikaondoa kodi zote kwenye vifaa kama pedi na taulo za kujihifadhia wanawake wakati wa hedhi hususan kwa wasichana walioko  shuleni,” alisema Mawinza.
Akizungumzia ahadi ya serikali kutoa Sh milioni 50 kwa kila kijiji, Mawinza alisema kuliko serikali kutoa fedha hiyo kama mikopo ni bora ikazitoa kama ruzuku   kuwapunguzia wananchi madeni.
Kuhusu elimu bure, alisema jitihada za kutoa elimu bure ziendane na uchambuzi wa kina na uwekezaji wa rasilimali ambao utaondoa changamoto ambazo zimeanza kujitokeza.
“TGNP tunatoa angalizo kwamba juhudi za kutoa elimu bure ziendane na uchambuzi wa kina na uwekezaji wa rasilimali ambao utaondoa changamoto na kero ambazo zimeshaanza kwa watoto wa kike na wenye ulemavu,” alisema Mawinza.

Kwa mujibu wa wataalamu wa mambo ya uchambuzi wa bajeti wanasema bajeti hiyo ni ya maumivu kwa walala hoi na ni ishara kuwa gharama za maisha zitaendelea kupanda maradufu ukilinganisha na mwka jana.


Hakuna maoni