|
Balozi
wa Marekani nchini Balozi Mark Childress (katikati) akishirikiana pamoja
na Bw. Vikram Desai (Kushoto) pamoja na Mkurugenzi wa Pizza Hut Afrika, Bw. Randall Blackford (kulia) kukata utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua mhagawa wa Pizza Hut katika jengo la
Mkuki Barabara ya Nyerere jijini Dar es salaam. |
|
Balozi
wa Marekani nchini Balozi Mark Childress akipata maelezo kutoka kwa Bw.
Vikram Desai Mkurugenzi wa Dough Works Ltd, Vikram Desai mara baada ya
kuzindua rasmi mgahawa wa Pizza Hut uliopo jengo la Mkuki jijini Dar es
salaam. |
|
Balozi wa Marekani nchini Balozi Mark Childress akizungumza na wageni waalikwa katika uzinduzi huo uliofanyika leo. |
Baadhi ya wageni mbalimbali walioalikwa katika uzinduzi huo wa mgahawa wa Pizza Hut.
Bw.
Vikram Desai Mkurugenzi wa Dough Works Ltd, Vikram Desai akizungumza na
wageni waalikwa na kumkaribisha Balozi wa Marekani Mark Childress ili
kuzungumza na wageni waalikwa.
Hakuna maoni
Chapisha Maoni