LOWASSA KUKINUKISHA TENA,SASA KUANZA ZIARA NCHI NZIMA,SOMA HAPO KUJUA
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeneo (CHADEMA) na aliyekuwa Mgombea Urais katika Uchaguzi Mkuu uliopita kwa tiketi ya chama hicho na kuungwa mkono na UKAWA, Edward Lowassa akisalimiana na viongozi wa walemavu wilayani Monduli kwenye Mkutano wa kwanza wa kuimarisha chama nchi nzima.
Hakuna maoni
Chapisha Maoni