Zinazobamba

HABARI NJEMA JIJINI DAR,FLAY OVER UJENZI WAKE KUANZA MWEZI UJAO,SOMA HAPO KUJUA


SERIKALI imesema Ujenzi wa Flay Over kwenye Makutano ya Barabarabra ya Tazara jijini Dar es Salaam yanatarajia kuanza mapema mwezi ujao,Anaandika KAROLI VISENT endelea nayo.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es Salaam na Waziri wa Ujenzi DK John Magufuli wakati alipokuwa anazungumza na waandishi wa Habari ambapo amesema baada ya hatua zote za mradi wa ujenzi wa Fray over hiyo kukamilika sasa kinachofuata ni Mkandarasi wa Kampuni ya Oriental Consultant ltd kutoka Japani kuanza kazi hiyo,
Magufuli amesema Mradi huo ambao utagalimu jumla ya pesa za kitanzania Bilioni 87.156 pesa  hizo ambazo ni za msaada kutoka  Serikali ya Japani,unatarajia kumalizika baada ya miezi 32 kutoka sasa,
     Ameongeza kuwa mradi huo utakuwa na awamu mbili hawamu ya kwanza itachukua miezi 12  ya upembezzi na miezi itakayobakia ni kukamilisha ujenzi wa Fyay over,
      Magufuli ambaye pia ni mgombea wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM amesema kukamilika kwa Fya over hiyo kutasaidia kupunguza msongamano wa Magari Jijini Dar es salaam,

Hakuna maoni