Sheria ya Mitandaoni: wanaharakati wasema BIG NO!!!, IKISAINIWA NI hATARI KWA WANANCHI
Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu kwa kushirikiana na baadhi ya Wanachama wake, Kituao cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), SIKIKA, Mtandao wa Jinsia-TGNP, Jamii Forum, Mtandao wa Watoa Huduma za Msaada wa Kisheria (TANLAP) tumeshtushwa an kusikitishwa na kitendo cha Bunge la Jamhuri ya Muungano kupitisha Mswaada wa Sheria ya Takwimu ya Mwaka 2015 na Pamoja na Sheria ya Makosa ya Mtandaoni bila kurekebisha au kuviondoa vifungu vinavyokwenda kinyume na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.

No comments
Post a Comment