SINEMA YA URAIS WA LOWASSA,YAZIDI KUIBUKA,SASA WATU 700,WAMFUATA KWAKE KUMPIGIA MAGOTI SOMA HAPA KUJUA
makundi mbalimbali ya kijamii ya mikoa ya Kaskazini, inayojumuisha mikoa ya Kilimanjaro, Tanga, Arusha na Manyara wakiwa wanaandamana kwa pamoja kuelekea kwa mbunge wa jimbo la monduli hii leo
Katibu wa Chama cha Wasioona Mkoa wa Kilimanjaro (TLB), Protas Soka Akisoma risala kwa niaba ya makundi hayo mbele ya mbunge wa jimbo la monduli
No comments
Post a Comment