Zinazobamba

KINACHOENDELEA KWENYE KESI YA ESCROW-CHENGE AIZIBA MDOMO MAHAKAMA SOMA HAPA KUJUA

Pichani ni Mbunge wa Jimbo la Bariadi Magharibi ,
Andrew Chenge akitoka kwenye Kamati ya Maadili picha na Maktaba
  

BARAZA  la Maadili leo limeshindwa kusikiliza Kesi inayomkabili Mbunge wa jimbo la Bariadi Magharibi Andrew Chenge,kutokana na Mbunge huyo kukimbilia Mahakama kuu kukata rufaa ili kulizuia Baraza hilo lisijadili kesi yake inayomkabali mpaka pale tafsiri ya sheria itakapopatikana-
Tafsiri anayoidai Chenge ni ile ya Mahakama kuu inayokataza zuio la Vyombo vyovyote  kutozungumzia sakata linalohusu Akaunti ya Tegeta Ecsrow   .
            Chenge ambaye alikuwa mwanasheria Mkuu wa Serikali ametoa zuio kwenye Baraza la Maadili leo Jijini Dar es Salaam ambapo Mwenyekiti wa Baraza hilo Jaji mstaafu Hamis Msumu na kukubali ombi hilo la change na kuichia mahakama kuu itakapoto taarifa kamili .

ENDELEA KUFUATILIA BLOGS HII KUPATA YANAYOJILI KWENYE KESI INAYOENDELEA AMBAPO MWANDISHI WA MTANDAO HUU KAROLI VINSENT YUKO AKIFUATILIA KWA MAKINI KESI INAYOMUHUSU WAZIRI WA ZAMANI WA ARDHI PROFESA TIBAIJUKA

Hakuna maoni