Zinazobamba

HABARI MBAYA LEO MHE SALMIN AFARIKI DUNIA,SOMA HAPA KUJUA



https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEif143QwhzsCrcb1VlX_QG2Sinyln2CgXdDDx3vNtglKjDpAHMNMw8VJDDOGTVNNfy3kFtTwpJFuIb3G_9JspAzF-V9iG3eTGeED_y1e4bfogb90yc959jqlSnVe2c5TVNJahmYY0vVrO8/s1600/IMG-20150219-WA0001.jpg
Pichani ni Mwili wa Mwakilishi huyo ukipakiwa kwenye gari ukitolewa kwenye hospitali ya Mnazi Mmoja kwenda nyumbani kwake kwa matayarisho ya mazishi.



Habari iliyotufikia hivi punde toka Visiwani Zanzibar,inaeleza kuwa Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni,Mhe. Salmin Awadh amefariki dunia mchana huu baada kuanguka hafla akiwa kikaoni katika Afisi kuu ya CCM kisiwandui,mjini Unguja Zanzibar.




taarifa kamili tutapeana hapo baadae.

Hakuna maoni