TANESCO INAUNGUA MDA HUU SOMA HAPA KUJUA ZAIDI

Transfoma la kituo kikuu cha umeme cha Mgololo Mkoani Iringa likiteketea kwa moto mchana baada ya kulipuka ghafla,chanzo kilichepekea kulipuka kwa Transfoma hiyo bado hakijajulikana mpaka sasa na hali hiyo itapelekea baadhi ya maeneo ya mikoa ya Mbeya na Njombe kuwa gizani kwa muda.Taarifa zaidi zitawajia baadae kidogo.

Washuhuda wakiangalia Mtambo huo unavyoendelea kuteketea kwa moto mchana huu.
Post Comment
Hakuna maoni
Chapisha Maoni