WAZIRI NDALICHAKO AZINDUA BODI YA MAMLAKA YA ELIMU TEA,SOMA HAPO KUJUA
Waziri wa Elimu Sayansi na
Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako (kulia) akielekea kwenye ukumbi
kwaajili ya kuzindua Bodi mpya ya Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) leo
jijini Dar es Salaam (kushoto) Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu
Tanzania (TEA ) Graceana Shirima .
Wajumbe wa Bodi ya Elimu Tanzania
(TEA) wakiwa wamejipanga kumpokea mgeni rasmi Waziri wa Elimu Sayansi na
Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako wakati wa uzinduzi wa Bodi mpya ya
Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) leo jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Profesa. Maurice Mbago akizungumza.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA ) Graceana Shirima akizungumza wakati wa uzinduzi huo.
Waziri wa Elimu Sayansi na
Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako akizungumza na wajumbe wa Bodi mpya ya
Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) leo Jijini Dar es Salaam wakati
akizindua Bodi hiyo mpya (kulia) Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya
Elimu Tanzania (TEA ), Graceana Shirima na kushoto Mwenyekiti wa Bodi ya
Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Profesa. Maurice Mbago
Waziri wa Elimu Sayansi na
Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako (kushoto) akimkabidhi Mwenyekiti wa
Bodi ya Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Profesa. Maurice Mbago mwongozo wa kutekeleza majukumu ya bodi mpya.
Wajumbe wa Bodi ya Elimu Tanzania (TEA) pamoja na watendaji wa Mamlaka hiyo wakishuhudia uzinduzi huo.
Waziri wa Elimu Sayansi na
Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako akiwa kwenye picha ya pamoja na
Wajumbe wa Bodi ya Elimu Tanzania (TEA) pamoja na watendaji wa Mamlaka
hiyo.