Zinazobamba

KUBWA LEO--HATIMAYE KAMANDA LEMA NJE,SOMA HAPO KUJUA

Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo imemuachia kwa dhamana Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema baada ya kukaa mahabusu kwa muda wa miezi mine.

Lema aliyekamatwa mapema mwezi Novemba mwaka jana amekuwa akikwama mara kwa mara kupatiwa dhamana katika kesi inayomkabili ya uchochezi dhidi ya Rais Dkt John Pombe Magufuli.

Mahakama imemuachi baada ya kutimiza masharti ya dhamana yaliyokuwa yakimtaka kuwa na wadhamini wawili na TZS milioni 1.