Kutokana
na Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali hapa jijini Dar es
salaam leo, soko la Sinza limelazimika kufungwa kwa muda kutoka na kujaa
maji eneo lote la soko hilo.
Leo huduma haita patikana hapa.
Haya shtuaaaa.......
L
JIJI LA DAR HALITAMANIKI KABISA,,TIZAMA PICHA BAADA YA MVUA KUBWA KUNYESHA LEO,SOMA
Reviewed by Unknown
on
18:50:00
Rating: 5