NEC YAWAONGEZEA WABUNGE CHADEMA NA CCM,SOMA HAPO
![]() |
MWENYEKITI WATUME YAUCHAGUZI JAJI MSTAAFU DAMIAN LUBUVA .tum |
NA
KAROLI VINSENT
TUME
ya Taifa Uchaguzi Nchini (NEC) imewaongeza Wabunge wanawake watu wa viti Maalum kwenye Bunge la
Jamhuri wa Muungano, Wabunge hao ni Lucy
OWENYA kutoka chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), na Oliver Senguruka
,Rita KABATI kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM)
Akizungumza
na waandishi wa habari Mapema hii leo jijini Dar es Salaam ,Mwenyekiti wa NEC Jaji mstaafu Damian Lubuva amesema wabunge hao
wa viti Maalum wametokana na Majimbo ya manane
ya uchaguzi wa Ubunge ambayo uchaguzi wake ulihairisha Octoba 25 mwaka jana
kutoka na tatizo mbali mbali,
‘’Uteuzi
huu unafuatia kiako cha tume ya uchaguzi Novembar 11 Mwaka jana ambapo wabunge
113 wanawakew aliteuliwa kuwania viti maalum ,kati yabunge hao walioteuliwa
walikuwa 110 viti vitatu vilibakizwa katika majimbo manane yaliyo aihirishwa
yakisubiri uchaguzi kwa sababu mbalimbali ‘’Amesema Jaji mstaafu Lubuva .
Jaji
Mstaafu Lubuva amesema kuwa uteuzi huo ulihusisha vyama vitatu ambavyo
vilifikisha asilimia 5 CCM 8,3332,953.,Chadema 4,627,923 .Wakati CUF Ilipata
kura 1,257,051.

No comments
Post a Comment