BUNGE LIMESITISHWA GAFLA,NI BAADA YA MSIBA MKUBWA,SOMA HAPO KUJUA
BUNGE la
Jumuhuri wa Muungano limesitisha Shughuli zake za kusoma bajeti mbali mbali za
wizara mpaka tarehe 4 mwezi huu kutokana na Msiba wa Mbunge wa Jimbo la Ukonga Eugene Mwaiposa CCM,anaandika
KAROLI VINSENT endelea nayo.
Kwa Mujibu
wa Taarifa ilitolewa na Ofisi ya Bunge inasema wamesitisha kazi zote za Bunge
ili kupisha taratibu zengine za kibidamu.ikiwemo Mwili wa Marehemu kuagwa kesho tarehe 3 Juni 2015 kuanzia saa 4 asubuhi katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma, na baadaye mwili kupelekwa nyumbani kwake Ukonga, Dar es Salaam
Mbunge Mwaiposa kifo chake kimetokea
majira ya saa nne asubuhi mjini Dodoma
Bungeni.
Ambapo
sababu ya Kifo chake kinatokana na kusumbuliwa na Ugonjwa na Shinikizo la
Damu,taarifa za awali zinasema amefariki kwenye Hoteli jirani kituo cha mafuta
Ahabiby,
Hakuna maoni
Chapisha Maoni