BREAKING NEWS--MSAFARA WA MAKAMU WA RAIS WAPATA AJALI HUKO MWANZA---ZAIDI NI HAPA
Habari zilizotufikia
muda huu zinasema Msafara wa katibu mkuu wa Cuf taifa (CUF) ambae pia ni makamu wa rais wa kwanza wa rais wa Zanzibar,Maalim Seif Sharif Hamadi,amepata ajali huko mkoani
mwanza
![]() |
Mkurugenzi wa habari wilaya'na Mh Shido Ambae ni mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa miringo,wameumia vibaya na kwamba majeruhi wamelazwa hospitali ya BUGANDO
|

![]() |
| Mh.Rehema Mwenda |
Habari kamili itakujia
endelea kufuatilia mtandao huu,


No comments
Post a Comment