uchaguzi jimbo la kalenga ni jino kwa jino, hawahapa ccm nao, wapiga kampeni kijiji kwa kijiji....habari kamili hii hapa
Kalenga,Wananchi Waendelea kufurika kwenye Mikutano ya CCM,Mwigulu afanya kampeni za Kijiji Kwa Kijiji
Naibu
Katibu Mkuu CCM Bara Mh:Mwigulu Nchemba akizungumza na Wanakijiji wa
Kibebe hii leo wakati wa kumnadi Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Godfrey
William Mgimwa.Hii leo Mwigulu Nchemba ameendesha mikutano minne kwenye
Vijiji Vinne tofauti(Mwambao,Kibebe,Lupalama na Mangali).Katika Vijiji
Vyote Wananchi wamejitokeza kwa wingi sana na hakika Wameahidi kuiunga
mkono CCM hasa kutokana na maendeleo waliyoyapata tangu awali kwa Mbunge
aliyefariki.
Mh:Mwigulu Nchemba akizungumza na
Kijiji cha Mwambao Vijana wakishangilia na Kumpokea Mgombea wa Ubunge Jimbo la Kalenga wa CCM,Godfrey William Mgimwa.
Mh:Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Mangali hii leo kata ya kalenga
Kada
Mtiifu Mtela Mwampamba akizungumza na Wananchi wa Kata ya Kibebe wakati
wa kumnadi Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Godfrey William Mgimwa hii
leo.
Mapokezi mazito Kata ya Kibebe kwa Godfrey Mgimwa mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga.

Mh:Mwigulu Nchemba akizungumza na wanakijiji wa Kibebe Jimboni kalenga hii leo.
No comments
Post a Comment