Zinazobamba

CHADEMA MAMBO SI SHWARI, NGUMI ZATEMBEA MCHANA KWEUPE

 
Mwasisi wa Chadema Edwin Mtei (mwenye kofia) akizungumza kwenye mkutano wa siku tatu wa Baraza la Kanda ya Kaskazini ya chama hicho jijini Arusha juzi. Wapili kushoto ni Mwenyekiti wa Kanda Mchungaji Israel Natse, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Katibu wa Kanda, Amani Golugwa. PICHA | FILBERT RWEYEMAMU  
Kwa ufupi
  • Mwigamba amekuwa mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Arusha tangu mwaka 2009, akiwa pia Mjumbe wa Baraza la Uongozi Kanda ya Kaskazini, Mwenyekiti wa Baraza la Mashauriano Mkoa, Mjumbe wa Baraza Kuu la Taifa na Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chadema.

Hakuna maoni