TAARIFA YA KATIZO LA UMEME BAADHI YA MAENEO YA WILAYA YA BABATI

*SABABU* Maboresho kwenye miundombinu ya umeme.
*SIKU* ALHAMISI
07/05/2026
*SAA 3:00 ASUBUHI*
*HADI 11:00 JIONI*
*MAENEO YANAYOATHIRIKA :-
*LAINI YA MAGUGU* :-
Changarawe, Kiongozi, Mawemairo, Matufa, Magugu, Mbuyu wa Mjerumani, Mdori, Vilima vitatu, Mwada, Minjingu na maeneo ya jirani.
Shirika linawashukuru kwa uvumilivu na ushirikiano wenu wakati ambao huduma ya umeme itakosekana.
*Imetolewa na:-*
OFISI YA UHUSIANO TANESCO MANYARA
06/05/2026
03:10 ASUBUHI
No comments
Post a Comment