Ma RC, DC wa Agizwa Kuhakikisha Wanachukua Hatua Dhidi ya Tatizo la Watoto Waishio Katika Mazingira Hatarishi nchi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na
Serikali za Mitaa (TAMISEMI) George Simbachawene akizindua kitabu cha Mwongozo wa Taifa wa Utekelezaji waSera
za Huduma kwa watoto waliokatika mazingira hatarishi kwa Serikali za Mitaa leojijini
Dar es Salaam. Wanaoshuhudia tukio kutoka kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Shirika
la Misaada na Maendeleo la Marekani (USAID) nchini Tanzania Tim Donnay,


Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu wa Sekta kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa
na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Dkt. Andrew Komba akichangia mada wakati wa
mkutano baina ya TAMISEMI na USAID kuhusu Afya ya mama na motto leo jijini Dar es
Salaam.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
George Simbachawene akiteta jambo na Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Misaada na
Maendeleo la Marekani (USAID) nchini Tanzania Tim Donnay mara baada ya kumaliza
mkutano kuhusu Afya ya Mama na Mtoto leo jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
George Simbachawene akiwa katika picha ya pamoja washiriki wa mkutano baina ya
TAMISEMI na USAID kuhusu Afya ya mama na mtoto leo jijini Dar es Salaam.Kutoka
Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
Dkt. Mpoki, Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Misaada na Maendeleo la Marekani (USAID)
nchini Tanzania Tim Donnay, Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na
Serikali za Mitaa – TAMISEMI Dkt. Zainab Chaula na Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es
Salaam Theresia Mmbando.
na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Dkt. Andrew Komba akichangia mada wakati wa
mkutano baina ya TAMISEMI na USAID kuhusu Afya ya mama na motto leo jijini Dar es
Salaam.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
George Simbachawene akiteta jambo na Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Misaada na
Maendeleo la Marekani (USAID) nchini Tanzania Tim Donnay mara baada ya kumaliza
mkutano kuhusu Afya ya Mama na Mtoto leo jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
George Simbachawene akiwa katika picha ya pamoja washiriki wa mkutano baina ya
TAMISEMI na USAID kuhusu Afya ya mama na mtoto leo jijini Dar es Salaam.Kutoka
Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
Dkt. Mpoki, Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Misaada na Maendeleo la Marekani (USAID)
nchini Tanzania Tim Donnay, Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na
Serikali za Mitaa – TAMISEMI Dkt. Zainab Chaula na Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es
Salaam Theresia Mmbando.
Post Comment