Zinazobamba

RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI HUU,SOMA HAPO KUJUA



John Magufuli, Rais wa Tanzania
John Magufuli, Rais wa Tanzania


RAIS John Magufuli  leo amemteua Jaji Ferdinand Wambali  kuwa Jaji Kiongozi, .

Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari mchana huu  na Gerson Msigwa, Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu imeeleza “Jaji Wambali anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Jaji Shaaban Ally Lila aliyeteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa.”

Kabla ya uteuzi huo, Jaji Wambali alikuwa Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto, mkoani Tanga.

Hakuna maoni