Zinazobamba

CHADEMA YAONGOZA KATA 26 MBEYA,SOMA HAPO KUJUA

 HATIMAYE jiji la Mbeya linatarajiwa kuongozwa na Wapinzani baada ya Chama cha Demokrasia na maendeleo chadema kushinda kata  26  huku kata nane zimechukuliwa na chama cha Mapinduzi CCM huku kata moja imehairishwa kutokana na Mgombea wa Udiwani kufariki Dunia

No comments