WATOTO WAZIDI LILIWA SHIRIKA LA 'THE SAVE CHILDREN LASEMA NENO,SOMA HAPA KUJUA
| Pichani ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano, wa Shirika lisilokuwa na kiserikali la (The save Children)Be Ellen Okoedian picha na maktaba |
SHIRIKA
lisilokuwa la Kiserikali linaloshughulika na Watoto nchi (The save
Children)limesema bado mtoto wa Kitanzania bado akambana na Changamoto
mbalimbali ambayo yanatajawa kumrudisha nyuma kimaendeleo.Anaandika KAROLI
VINSENT endelea nayo.
Hayo yamebainishwa
leo Jijini Dar es Salaam na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Shirika hilo Be
Ellen Okoedian wakati wa Semina iliyokuwatanisha baraza la watoto kutoka wilaya
saba nchini yenye lengo ya kuwajengea uwezo wa kufanya kazi kwa kujiamini
ambapo amesema bado watoto nchini wanakumbana na changomoto mbalimbali ikiwemo-
Ukosefu wa
nauli pindi waendapo shuleni,adhabu kali zinatolewa mashuleni pamoja na kuwepo
sheria kandamizi zidi ya watoto.
Amebainisha
kuwa iwapo watoto wa kitanzania watajengewa mazingira mazuri itawasaidia kufanya kazi kwa
kujiamini na kuondokana na kasumba ya kutegemea ndugu jambo ambalo adai kuwa
litachangia kurudisha nyuma maendeleo ya mtoto katika Nyanja mbalimbali ikiwemo
upatikanaji mtoto.
Aidha,Be Okaediani amesema kuwa suala la
elimu limekuwa tatizo kwa mtoto wa kitanzani katika kufikia malengo yao ambapo
na ameitaka Serikali nchini kuboresha sheria ili ziwape watoto bnafasi ya
kumiliki haki ya za msingi kuriko sheria bza sasa ambazo anadai zimekuwa
kikwazo katika jamii.
No comments
Post a Comment