Zinazobamba

WACHIMBAJI WA MADINI WAKUMBUKWA,POLICY FORUM YAJIPANGA,SOMA HAPA KUJUA

Pichani ni Makamu wa Rais wa anayeshughulika Uhusiano na utengamano kutoka Mgodi wa Geita,Bwana Saimon Shayo,Akizungumza na Waandishi wa Habari,
leo Jijini Dar es Salaam
IMEELEZWA kuwa wachimbaji wa madini wanakumbana na Changamoto kubwa ikiwemo tatizo la mazingira na tatizo la uwelewa juu ya Ufanyaji kazi ambao unawarudisha kufikia malengo yao.
            Hayo yameelezwa mda huu Jijini Dar es Salaam na Mratibu  mtandao wa kiraia  unaoshughulikia utawala bora (policy Forum)   Bwana  Semtaye Kilonzo wakati wa mkutano uliwahsirikisha wadau mbalimbali wa masuala ya madini ambapo amesema tatizo kubwa wanalokumbana nalo wachimbaji wadogo ni hali ya mazingira kutokana na wachimbaji wachimbaji hao ambao wameshindwa kufikia Malengo na dhumuni kubwa la mtandao huo ni kutoa elimu kwa wachimbaji wa dogo kwa kutumia mijadala mbalimbali yenye nia ya  kuboresha sekta nzima ya madini.
              Kwa upande wake Makamu wa Rais wa anayeshughulika Uhusiano na utengamano kutoka Mgodi wa Geita,Bwana Saimon Shayo, amesema dhumuni kubwa la mgodi wake ni kuwawekea mazingira mazuri wachimbaji wadogo wa wadogo ili kufikia katika tija ya kazi zao.

      Mbali na wachimbaji hao wadogo pia  Rais huyo h Amesema nia yao ni kuwaekea mazingira mazuri hata wakazi wanao ishi karibu na migodi hiyo kuwaekea mazingira yenye tija ili wapendelee uwepo wa kazi hizo za migodi

Hakuna maoni