Zinazobamba

BAKHRESA KUGOMBEA UENYEKITI SIMBA SC

 
MDAU wa soka, Yussuf Bakhresa amejitolea kugombea Uenyekiti wa Simba SC katika uchaguzi ujao. Yussuf, mkazi wa Gongolamboto, Dar es Salaam, amechukua fomu za kugombea nafasi hiyo leo makao makuu ya jeshi la Polisi na amesema anataka kuifanya klabu hiyo iwe maarufu nchini. Lakini amesema atarejesha fomu hizo iwapo tu atajitokeza mwanachama mwingine kuomba nafasi hiyo. 1st April, 2014. 
Bin Zubeir

Hakuna maoni