KAMISHNA WA SHERIA NA UENDESHAJI WA MAGEREZA AFANYA ZIARA YA KIKAZI MAGEREZA MKOA WA MANYARA
Kamishna
wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza, Dkt. Juma Malewa akisalimiana na
baadhi ya Maafisa wa Jeshi la Magereza toka Magereza mbalimbali ya
Mkoani Manyara mapema leo Desemba 21, 2013 alipowasili katika Ofisi za
Magereza Mkoa wa Manyara tayari kwa ziara ya Kikazi ya siku mbili
Mkuu wa
Magereza Mkoa wa Manyara, Kamishna Msaidizi wa Magereza, Bether Minde
akiwa ameongozana na Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza, Dkt.
Juma Malewa(kushoto)
wakati wa kutembelea baadhi ya maeneo mbalimbali ya Gereza la Mahabusu la Babati
wakati wa kutembelea baadhi ya maeneo mbalimbali ya Gereza la Mahabusu la Babati
Baadhi ya
Askari wa Jeshi la Magereza toka Vituo mbalimbali vya Magereza Mkoa wa
Manyara wakimsikiliza Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza, Dkt.
Juma Malewa(hayupo pichani) wakati Baraza Maalum la Askari
lililofanyika katika Ukumbi wa Bwalo Kuu la Magereza, Mkoani Manyara leo
Desemba 21, 2013
.Kamishna
wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza, Dkt. Juma Malewa(wa pili kushoto)
akiongea na baadhi ya Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza wa Mkoani
Manyara(hawapo pichani) leo Desemba 21, 2013. Watatu toka kulia ni Mkuu
wa Magereza Mkoa wa Manyara, Kamishna Msaidizi wa Magereza, Bether
Minde.(HD)
No comments
Post a Comment