Zinazobamba

Tigo yazindua mbio za Kili Half Marathon 2018, kufanyika March 4


Kaimu mkurugenzi wa Tigo kanda ya kaskazini, Henry Kinabo    akijitambulisha
wakati wa kuzindua mbio za Kili Half Marathon kwa mwaka 2018, mgeni rasmi
alikuwa ni Waziri wa Habari, 
Utamaduni, Sanaa na Michezo Dr Harrison
Mwakyembe.
 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dr Harrison Mwakyembe akizungumza wakati wa uzinduzi wa mbio za Kili Marathon kwa mwaka 2018,
uzinduzi huo umefanyika jana jijini Dar es Salaam ambapo kampuni ya simu za
 mkononi ya Tigo itadhamini mbio za kilomita 21 kwa jina la Tigo
Kili Half Marathon.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dr Harrison Mwakyembe
akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mbio za Kili Marathon kwa mwaka 2018,
uzinduzi huo umefanyika jana jijini Dar es Salaam, kulia kwake ni  Kaimu
 Mkurugenzi wa Tigo kanda ya kaskazini, Henry Kinabo 
ambao wamedhamini
mbio za kilomita 21 ziitwazo Tigo Kili Half Marathon