Zinazobamba

ACT-WAZALENDO YATETEMESHA MJI WA BUKOBA.MWIGAMBA AZOA WANACHAMA KIBAO TIZAMA HAPO KUSHUHUDIA


















Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Samson Mwigamba, akiwahutubia wakazi wa Mji wa Bukoba leo wakati wa mkutano wa adhara kwa mara ya kwanza mjini Bukoba leo

MSANII mkongwe wa Bongo Fleva nchini, Seleman Msindi 'Afande Sele' akiteta na Wananchi mjini Bukoba wakati wa mkutano huo wa adhara katika uwanja wa Uhuru Platform

No comments