Waziri wa Mambo ya ndani Mh.Mwigulu
Nchemba amefanikisha kumrejesha KochaYanga Hans Van Der Pluijm ambaye
alitangaza kujiuzulu kuiongoza timu hiyo mapema wiki hii.
Katika Mazungumzo yaliyodumu
takribani siku tatu,Mchana huu Mwigulu amefanikiwa kumrejesha kocha huyo ndani
ya viunga vya jangwani na tayari kwa kuendelea na kazi yake ya Ukocha.
Hii ni mara ya pili kwa Mh.Mwigulu
anafanikiwa kuweka mambo sawa ndani ya klabu ya Yanga kwani msimu uliopita
alifanikiwa kumrejesha kiungo Haruna Niyonzima kuichezea Yanga.
Ikumbukwe kuwa Mwigulu Nchemba ni
mdau wa michezo nchin na mpenzi wa soka na mwanachama hai wa jangwani “Yanga”
Tazama hapo Barua kutoka kwenye
Uongozi wa Yanga.
YANGA WAKUBALI KUYAISHE KWA KOCHA WAKE,WAMTUMIA WAZIRI MWIGULU KUMWOKOA KOCHA WAKE,SOMA HAPO KUJUA
Reviewed by Unknown
on
19:44:00
Rating: 5