Zinazobamba

MWANDISHI WA GAZETI LA GAURDIAN ASIMULIA JINSI ALIVYOTAKA KUULIWA NA 'MUNGIKI' WA LIPUMBA,SOMA HAPO KUJUA

Mwandishi wa Gazeti la The Gaurdian Henrry Mwang'onde asimulia jinsi alivyonusurika kupoteza maisha alipokuwa akijinusuru kutoka kwenye kipigo cha wavamizi wa Mkutano wa CUF na waandishi wa Habari.

Uvamizi huo ulifanywa na wafausi wa Chama cha wananchi CUF wanaomuunga Mkono Mwenyekiti anayetambulika na Msajili wa Vyama vya siasa nchi Professa Ibrahimu Lipumba

Henrry ameeleza jinsi alivyokimbia kutoka kwenye chuma hicho cha mkutano na kwenda nje ya chumba hicho kilichopo Ghorofa ya Nne na kutaka kujiokoa kwa kushuka chini kupitia kolido la Ghorofa hilo ili adondokee floo inayofuata.

Hennry amesema kuwa aliishiwa nguvu na kwamba manisura yake ni waandishi wenzake walikuwepo karibu ambao  nao walikuwa wanata kuokoa uhai wao.

Amesema kuwa hakuwa sawa kisaikolojia .