CUF YA LIPUMBA YAKIRI,MLINZI ALIKONG'OLEWA KISIGINO NI MTU WAO,SOMA HAPO KUJUA
Upande wa Chama cha wananchi CUF wanaosapoti Mwenyekiti anayetambulika na Msajili wa Vyama vya siasa Nchini Profesa Ibrahim Lipumba umekiri kuhusika kwa tukio la vina Hotel.
Akizungmza na waandishi wa habari mapema leo hii Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliono wa chama hicho Abdul Kambaya amefafanua uwepo wa walinzi wa chama Vina hotel ambapo ni kwa mujibu wa katiba ya Chama chao walinzi wa chama hicho hufanya doria kwa ajili ya viongozi na mali za chama hicho kwahivo ilikuwa halali wao kuwepo katika eneo hilo
Hata hivyo ameomba radhi kwa waandishi wa habari na kwamba kitendo kile cha wale walinzi kuitiwa kelele za wezi zilisababisha vurugu kwenye ukumbi huo
CUF YA LIPUMBA YAKIRI,MLINZI ALIKONG'OLEWA KISIGINO NI MTU WAO,SOMA HAPO KUJUA
Reviewed by Unknown
on
19:10:00
Rating: 5