Zinazobamba

WAKATI MBUNGE LEMA AKISOTA RUMANDE,WAPIGA KURA WAKE WAIBUKA NA HIKI MAHAKAMANI,SOMA HAPO KUJUA




Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema leo amefikishwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha ambapo alirejeshwa rumande kufuatia pingamizi lililowekwa na upande wa Jamhuri kuhusu rufaa yake iliyokuwa imekatwa.

Mahakama iliwataka Mawakili wa Lema kuwasilisha notisi ya rufaa na si rufaa.
Kwa upande mwingine baada ya wafuasi wa mbunge huyo wamejitokeza mahakamani wakiwa wamevalia fulana zenye maandishi ‘Justice 4 Lema’ ikiwa ni njia ya kuishinikiza mahakama kumuachia mbunge huyo kwa wao wanaoa kuwa haki haitendeki.
Kesi la Mbunge Godbless Lema imehirishwa hadi Disemba 2 mwaka huu.