Zinazobamba

KITUO CHA TIC CHAJITOSA KUINUA MKOA WA MOROGORO KATIKA UWEKEZAJI,SOMA HAPO KUJUA

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjMBmj677YMN-tYyGOIGnAYc2hopHDOCgMd5EI_LtqE_oj6K6Lx7kGPhDAAYeXjzGI0YHu_eLPi7Jl70nY1l-i0SXWO03tkOepBOEwCckcySaT5L3wHgmAMdC_ZzvmIjyorb5oGXVerPHQ/s640/MMG_0323+copy.jpg
Pichani ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Clifford Tandari akifafanua jambo katika Mkutano huo na Waandishi wa habari
KATIKA kuuuniua mkoa wa Morogoro kuwa mji wa biashaara Kituo cha uwekezaji nchini (TIC)kwa kushirikiana uongozi wa mkoa wa Morogoro kinatarajia kufanyanya kongamano maalum lakuhamasisha na kukuza uwekezaji na biashara katika Mkoa huo .
  Hayo yameelezwa jana Jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa kituo hicho Clifford Tandari wakati wa mkutano na waandishi wa habari, amesema kuwa kongamano hilo linatarajiwa kufanyika september 29 na 30 katika hoteli Glonency iliyopo katika mkoa wa morogoro .



''Kongamano hili linalenga kukuza sekta mbambali zaviwanda ,kilimo nausindikaji wa mazao ,nishati elimu na maji pamoja na ujenzi wa majengo na sekta nyinginezo ikiwemo chakula dawa na utafiti ,usafirishaji, fedha na biashara linatarajiwwa kuhudhuliwa na waziri Waviwanda nabiashara Charles Mwijage ''Alisema Mkurugenzi wa TIC Clifford Tandari .

Hata hivyo,Tandari alisema kongamano hilo litaisaidia kuuweka mkoa wa Morogoro kuwa mkoa wenye fursa mbalimbali ikiwemo kilimo nabiashara kwa makampuni yanje nandani kuja kuwekeza katikasekta hizo .

Amebainisha kuwa  jumla yamiradi 198 imekuwa ikitelezwa katikamkoa huo ambapo miradi hiyo inatarajia kuzalisha ajira 28,944 ambapo miradi111 niyawatanzania huku miradi 46 ni yawageni kutoka nje