MWENDELEZO WA HABARI KUHUSU TUKIO LA UGAIDI,SOMA HAPO KUJUA
Majambazi ambao idadi yao haijajulikana wanadaiwa
kuuwawa katika mapigano hayo kati yao na polisi huko Vikindu, wilaya ya
Mkuranga leo.
Milio ya risasi na mabomu vilisikika kuanzia saa
saba usiku katika eneo hilo ambalo majambazi hayo walikuwa wamejificha.
zinaeleza kuwa
Polisi wameweka kizuizi cha barabara eneo la Kongowe, wilayani Mkuranga ambapo magari
yote yanayotoka na kuingia Dar yanapekuliwa.