Wanafunzi
wa shule za msingi mbalimbali mkoani Dar es salaam wakishangilia kwa
furaha wakati wa ziara ya wanafunzi hao waliyoifanya katika mamlaka ya
reli Tanzania na Zambia TAZARA ambapo ziara hiyo ni moja ya shamra
shamra za kuadhimisha miaka 40 tangu kuanza kwa mamlaka hiyo.Akizungumza
na ,mtandao huu afisha Uhusiano wa Tazara kwa Upande wa Tanzania Bi
Regina Tarimo amesema kuwa wanafunzi zaidi ya mia Tano wamepata nafasi
ya kutembelea Mmlaka hiyo na kujionea utendaji kazi wa Reli za Tazara
ambapo pia walipata nafasi ya kupanda Treni moja wapo kutoka Makao makuu
ya Tazara hadi Kituo cha MWAKANGA na kurejea ikiwa ni moja ya Tukio la
kuwafanya wanafunzi kuelewa kwa undani Jinsi TAZARA inafanya kazi zake
hapa nchini |
|